Kuhusu Kipindi
Karibu Life With Muhasu, kwenye somo hili tutajifunza ni namna gani unaweza kuendelea kupata mafanikio kwenye kile kitu unachokifanya (iwe ni biashara, uchumi au hata maisha kiujumla) bila kuchoka sana.
Karibu Life With Muhasu, kwenye somo hili tutajifunza ni namna gani unaweza kuendelea kupata mafanikio kwenye kile kitu unachokifanya (iwe ni biashara, uchumi au hata maisha kiujumla) bila kuchoka sana.
Thanks
Karibu sana
Kmb kwa video naelewa bhana , thanks a lot
Karibu sana Martin tutaweka video mara kwa mara usijali
Great lesson 🙏
Thank you so much 🙏
Presentation nzuri. Ashukuliwe alie share link
Ahsante sana kwa kushukuru 🙏
Nimepata kitu 🔥🔥
Ahsante sana 🙏
Nimependa video imekaa professional sana. Big up, nimechukua kitu au viwili 🔥
Barikiwa sana🙏❤️
Hapo kwenye kufanya kitu kwa mazoea ndo mtihani. Ninaanzisha biashara nyingi ila kuziendeleza inakua changamoto. Mambo za kufuata ratiba na ma routine shida sana
Pole sana kwa changamoto hio na hauko peke yako, zingatia kupanga ratiba zako vema kisha zifuate taratibu usitumie nguvu kubwa na utazoea kidgo kidogo pia Anza na jambo moja moja kwanza
Hii Podcast nliskiliza mida sikujua kuko na video na blog kabisa. Hapa itabidi nitie kambi ☺️
Ahsante sana na karibu sana utajifunza mengi
Very good stuff. Nawezaje kuoata mawasiliano yako dada?
Nitumie ujumbe Whatsp 0748029623
Alie ulza hilo swali kafanya vizuri maana wengi tusingekutana na hii video. Bado nasikiliza ila nina swali; Je mtu akiwa anaoenda zaid ya ki2 kimoj na anapata wakat mgum kuchagua , afanyeje kiongozi?
Angalia ambacho kipo zaidi ndani ya moyo kati ya hivo viwili pia unachokiweza zaidi Ndio kipe kipaombele
Well spoken 🔥
Moja kwa moj kutok Kainetics 🏃 mependa unavofundisha. Content za hivi ngumu kuzipata … Em nika subscribe kabisa 🙏🙏
Ahsante sana sana barikiwa sana na karibu sana🙏🙏
Hatimae hii imejibu swali lililokua linanisumbua. Sem hapo kwenye kufanya kidogo kidogo changamoto sana 😁😁
Jitahidi iwe kidogo kidogo ili upate nafasi ya ku tafakari na kupumzika mara kwa mara